JIUNGE NA CHADEMA UOKOE RASILIMALI ZA TAIFA
KAMA RASILIMALI HAZITAANZA KUWANUFAISHA WANANCHI WA ENEO HUSIKA KATIKA TAIFA KUNA HAATARI YA TAIFA KUINGIA KWENYE VURUGU KAMA ILIVYO KUWA KWA SUDANI KUSINI
Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa jakaya mrisho kikwete ametangaza rasmi uteuzi wa mawaziri huku akiwatema mawaziri wote wlio ingia kwenye tope zito la rushwa uteuzi,