PEEEEEOPLE'S POOOOOOOWEEEEEER NGUVU YA UMMAAA
Friday, 2024-04-26
My site
PAMOJA TUNAWEZA KULINDA TANZANIA
Site menu
Our poll
Rate my site
Total of answers: 3
Statistics

Total online: 1
Guests: 1
Users: 0
JIUNGE NA CHADEMA UOKOE RASILIMALI ZA TAIFA KAMA RASILIMALI HAZITAANZA KUWANUFAISHA WANANCHI WA ENEO HUSIKA KATIKA TAIFA KUNA HAATARI YA TAIFA KUINGIA KWENYE VURUGU KAMA ILIVYO KUWA KWA SUDANI KUSINI
Main » Entries archive
Lowassa awatuliza wanaCCM wasihamie Chadema
... Read more »
Views: 2080 | Added by: twangaraha | Date: 2012-05-11 | Comments (0)

IKULU imeiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), kuwachunguza watendaji katika wizara na taasisi nyingine za umma ambao ndio chanzo cha mawaziri wao kuwajibishwa.

 Hii ni kauli ya kwanza ya Ikulu, tangu Rais Jakaya Kikwete afanye mabadiliko katika Baraza lake la Mawaziri kwa kuwaondoa mawaziri sita ambao wizara zao zilitajwa kwenye Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kukabiliwa na kashfa ya ufisadi na matumizi mabaya yafedha za umma.  

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue juzi aliliambia Mwananchi kuwa tuhuma zote ambazo zilibainishwa katika ripoti ya CAG katika maeneo mbalimbali sasa zitachunguzwa na Takukuru pamoja na DCI.  "Tuhuma zote zitapitiwa na vyombo husika (Takukuru na DCI), kitakachofanyika ni kuzipitia tuhuma zote ili kuwatambua wahusika sahihi,” alisema Balozi Sefue.  Alifafanua kwamba uchunguzi huo unafanyika ili ... Read more »
Views: 636 | Added by: twangaraha | Date: 2012-05-11 | Comments (0)

CHADEMA, NCCR MAGEUZI, CUF WAUNGANA KUUPINGA, MADIWANI TARIME WAMKATAA DC

UTEUZI wa wakuu wa wilaya uliotangazwa juzi umezua mjadala baada ya watu wa kada tofauti wakiwemo wasomi, wanasiasa, wanaharakati na wananchi wa kawaida, huku wengine wakidai kwamba ni sehemu ya kulipana fadhili pia mpango maalum wa CCM kupanga safu yake katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.

Habari kutoka ndani ya CCM zinadai kuwa baadhi ya makada wanautizama uteuzi huo kama moja ya hatua za kuumiza kambi mojawapo ndani ya chama hicho, wakati kikielekea katika uchaguzi wake wa ndani ambao mchakato wake tayari umeanza.

Hata hivyo, wakati wadau hao wakikosoa uteuzi huo, CCM kwa upande wake kimepuuza madai hayo na kuwataka wanaodhani kuna tatizo la kikatiba, kupeleka hoja zao kwenye Tume ya Kukusanya maoni ya Katiba Mpya, ili yafanyiwe kazi.

Katika uteuzi huo, ambao Rais alifanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya zote nchini, wamo waandishi wa habari, wabunge wa viti ... Read more »
Views: 677 | Added by: twangaraha | Date: 2012-05-11 | Comments (0)

JESHI la polisi nchini linawashikilia viongozi na wanachama watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) huku likimpa muda mpaka jana saa 12 jioni mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari kujisalimisha vinginevyo wataendesha msako mkali wa kumkata popote alipo.

Nassari na viongozi waliokwishakamatwa wanatuhumiwa kutoa maneno kuwa Ridhiwani Kikwete anao marafiki wa kike anaowatambulisha kwa baba yake Rais Jakaya Kikwete ambaye huwateua kushika nyadhifa mbalimbali kutokana na ushawishi wake.

Naibu Kamishna wa Polisi, Isay ... Read more »

Views: 624 | Added by: twangaraha | Date: 2012-05-08 | Comments (0)

WAKILI Method Kimomogoro amekamilisha na kuwasilisha mahakamani rufaa ya kupinga hukumu iliyomvua ubunge wa jimbo la Arusha mjini, Godbless Lema huku akiainisha hoja 18 za kupinga kukata rufaa.
Kwa mujibu wa kumbukumbu za kimahakama zilizopatika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, rufaa hiyo iliwasilishwa Ijumaa ya Mei 4, mwaka huu tayari kwa ajili ya kuwasilishwa kwa msajili wa Mahakama ya rufaa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusajiliwa.

Akizungumza ofisini kwake jana, Wakili Kimomogoro alithibitisha kukamilisha na kuwasilisha rufaa hiyo mahakamani tayari kwa ajili ya kupangiwa jopo la majaji wa kuisikiliza.

Pamoja na hoja za rufaa, kitabu hicho cha rufaa chenye kurasa 985 ina mwenendo mzima wa shauri, vielelezo na viambatanisho vyote vilivyowasilishwa Mahakama Kuu.

"Kimsingi ni rai yangu kuwa mtukufu Jaji Rwakibarila (Gabriel) hakutolea uamuzi mambo na hoja za msingi zinazofanya hukumu yake kukosa hadhi kisheria, kuitwa ... Read more »
Views: 598 | Added by: twangaraha | Date: 2012-05-08 | Comments (0)

Views: 882 | Added by: twangaraha | Date: 2012-05-08 | Comments (0)

raisi mkapa apanda kizimbani kutoa ushidi

... Read more »
Views: 730 | Added by: twangaraha | Date: 2012-05-08 | Comments (0)

MAWAZIRI
1. OFISI YA RAIS
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu)
Ndugu Stephen M. Wasira, Mb.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Utawala Bora)
Ndugu George Mkuchika, Mb.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (UTUMISHI)
Ndugu Celina Kombani, Mb.,
2. OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO)
Ndugu Samia H. Suluhu, Mb.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MAZINGIRA)
Dr. Terezya P.L. Huvisa, Mb.
3. OFISI YA WAZIRI MKUU
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji)
Ndugu Mary M. Nagu, Mb.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Hawa Ghasia, Mb.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge)
Ndugu William V. Lukuvi, Mb.
4. WIZARA
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Ndugu Samuel J. Sitta, Mb.
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Ndugu Shamsi Vuai Nahodha, Mb.
Waziri wa Uje ... Read more »

Views: 615 | Added by: twangaraha | Date: 2012-05-04 | Comments (0)

BREAKING NEWS:
JK aunda Baraza jipya la Mawaziri 
Friday, 04 May 2012 17:51




Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete ameteua baraza jipya la mawaziri huku akiyaondoa baadhi ya majina ya mawaziri waliotuhumiwa kuhusika katika ufisadi, kuwahamisha wengine kutoka wizara moja hadi nyingine, kuingiza sura mpya na wengine wakipanda kutoka unaibu hadi uwaziri.

Aidha kabla ya kutaja baraza hilo jipya alisisitiza kuwa, kuanzia sasa waziri anapowajibishwa basi wataalam husika katika wizara waliosababisha kuwepo kwa ubadhilifu nao pia watawajibishwa.

Baadhi ya Mawaziri wapya ni Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia January Makamba, Mbunge aliyeteuliwa mchana Saada Mkuya Salum na Janet Mbene wakiteuliwa katika nafasi ya manaibu katika wizara ya Fedha, huku Sospeter Muhongo aliyeteuliwa jana kuwa mbunge akiteuliwa kuwa Waziri wa Nishati na Madini

B ... Read more »
Views: 607 | Added by: twangaraha | Date: 2012-05-04 | Comments (0)

MHE:JAKAYA ATANGAZA RASMI BARAZA LA MAWAZIRI
Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa jakaya mrisho kikwete ametangaza rasmi uteuzi wa mawaziri huku akiwatema mawaziri wote wlio ingia kwenye tope zito la rushwa uteuzi,
Views: 552 | Added by: twangaraha | Date: 2012-05-04 | Comments (1)

« 1 2 3 »
Login form
Calendar
«  April 2024  »
SuMoTuWeThFrSa
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930
NATHASON THE GREAT © 2024