JESHI la polisi nchini linawashikilia viongozi na wanachama watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) huku likimpa muda mpaka jana saa 12 jioni mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari kujisalimisha vinginevyo wataendesha msako mkali wa kumkata popote alipo.
Nassari na viongozi waliokwishakamatwa wanatuhumiwa kutoa maneno kuwa Ridhiwani Kikwete anao marafiki wa kike anaowatambulisha kwa baba yake Rais Jakaya Kikwete ambaye huwateua kushika nyadhifa mbalimbali kutokana na ushawishi wake.
Naibu Kamishna wa Polisi, Isay
...
Read more »